Utambi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Utambi wa mshumaa.

Utambi ni kipande cha kitambaa au uzi kinachotumika kuwashia taa au kulipulia baruti.

Utambi hutumika katika kibatari, mshumaa, chemni (kandili) n.k.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.