Uta Abe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uta Abe
Uta Abe

Uta Abe (alizaliwa 14 Julai 2000) ni mwanajudo[1] wa Japani. Alishinda medali ya dhahabu katika hafla ya utoaji tuzo vilevile, alishinda medali ya fedha katika timu tofautitofauti katika Michezo ya Olimpiki ya mwaka 2020 iliyofanyika huko Tokyo, Japani.[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Uta ABE / IJF.org. www.ijf.org. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.
  2. IOC. Tokyo 2020 Women -52 kg Results - Olympic judo (en). Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.
  3. Uta ABE. Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.