Judo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mashindano ya Judo

Judo (jap. 柔道 jūdō) aina ya michezo ya mapigano kutoka nchini Japan iko pia kati ya michezo ya Olimpiki.[1] Ilianzishwa mwaka 1882 na Jigorō Kanō.[2] Mieleka inashindaniwa kimataifa leo na judo ndiyo aina inayoshindaniwa zaidi kimataifa ya mieleka jaketi.


Judo ni mchezo wa kifalsafa unaoathiriwa na mafundisho ya Ubuddha. kati ya misingi yake si kumshambulia mpinzani lakini kutumia nguvu ya mpinzani kw kumshinda.[3]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Judo ilianzishwa kwenye msingi wa mchzo wa mapigano ya kale zaidi inayoitwa Jujutsu.[4]

Jujutsu ilikuwa mchezo wa makabaila na askari wa Japani ya Kale iliyofundisha kumshinda mpinzani hadi kumwua. Kano aliondoa sehemu hatari akaunda Judo.

Kurasa husika[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nussbaum, Louis-Frédéric. (2005). "Judo" in Japan Encyclopedia, p. 435.
  2. Nussbaum, "Kanō Jigorō " at p. 477.
  3. Ohlenkamp, Neil. "Forms of Judo (Kata)," JudoInfo.com; retrieved 2012-2-27.
  4. Nussbaum, "Jū-jutsu" at p. 435.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: