Uprogramishaji unde

Makala ya kisayansi kuhusu uprogramishaji unde.
Katika utarakilishi, uprogramishaji unde (kwa Kiingereza: structured programming) ni aina ya uprogramishaji inayolenga kuboresha uwazi, ubora na muundo wa lugha za programu.
Kwa mfano, uprogamishaji unde unatumika kwenye lugha za programu kama C au C++.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.