Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1992
Mandhari
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1992 ulikuwa wa 52 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Democratic Party", mgombea Bill Clinton (pamoja na kaimu wake Al Gore) aliwashinda mgombea wa "Republican Party", Rais George H. Bush (pamoja na kaimu wake Dan Quayle), na mgombea Ross Perot.
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Clinton akapata kura 370, na Bush 168. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1992 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |