Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1928

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1928 ulikuwa wa 36 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Herbert Hoover (pamoja na kaimu wake Charles Curtis) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Al Smith (pamoja na kaimu wake Joseph T. Robinson).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Hoover akapata kura 444, na Smith 87. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.