Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1908

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1908 ulikuwa wa 31 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Republican Party", William Howard Taft (pamoja na kaimu wake James Sherman) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" William Jennings Bryan (pamoja na kaimu wake John Kern).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Taft akapata kura 321, na Bryan 162. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.