Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1904
Mandhari
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1904 ulikuwa wa 30 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Theodore Roosevelt (pamoja na kaimu wake Charles Fairbanks) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Alton Parker (pamoja na kaimu wake Henry Davis).
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Roosevelt akapata kura 336, na Parker 140. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1904 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |