Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1888

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1888 ulikuwa wa 26 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Benjamin Harrison (pamoja na kaimu wake Levi Morton) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Rais Grover Cleveland (pamoja na kaimu wake Allen Thurman).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Harrison akapata kura 233, na Cleveland 168. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.