Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1868

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1868 ulikuwa wa 21 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Republican Party", Ulysses Grant (pamoja na kaimu wake Schuyler Colfax) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Horatio Seymour (pamoja na kaimu wake Francis Blair).

Grant akapata kura 214, na Seymour 80. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1868 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.