Tura, Misri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tura (kiarabu cha Misri: طرة Tora  IPA: [ˈtˤoɾˤɑ]) yalikua ni machimbo ya chokaa yaliyopo Misri.[1] Eneo hilo lililokua linatambulika na wa Misri kama Troyu au Royu, Eneo hilo lipo katikati ya Cairo na Helwan.[2]Tafsiri ya Jina la kale la eneo hilo lilikosewa na wagiriki waliodhani lilitajwa na watrojan, Jina la mji huo lilikua ni Troia.[3] Eneo hilo linapatikana kwenye mji wa lisaa wa Tora kwenye tawala za mji wa Cairo.[4]

Machimbo ya chokaa

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Grimal, Nicholas. A History of Ancient Egypt. p. 27. Librairie Arthéme Fayard, 1988
  2. Grimal, Nicholas. A History of Ancient Egypt. p. 111. Librairie Arthéme Fayard, 1988
  3. https://web.archive.org/web/20070930155638/http://www.planetware.com/helwan/quarries-of-masara-and-tura-egy-cai-quar.htm
  4. https://en.m.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/0-691-03169-X