Nenda kwa yaliyomo

Tomohiro Osawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tomohiro Osawa (大沢 知宏, Ōsawa Tomohiro , 2 Aprili 1969 - 6 Aprili 2016) alikuwa mwanariadha wa Japani. Akiwa bado mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Waseda, alishiriki katika mbio za mita 100 za wanaume katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya mwaka 1988, Alifanya kazi kama mkufunzi katika Waseda baada ya kuhitimu.[1] Alifariki kutokana na saratani ya kongosho.[2]

  1. "Tomohiro Osawa".
  2. http://www.sponichi.co.jp/sports/news/2016/04/08/kiji/K20160408012361830.html
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tomohiro Osawa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.