Tlaxcala (jimbo)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tlaxcala, Mexico
Bendera ya Tlaxcala
Mahali pa Tlaxcala katika Mexiko

Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.

Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.

Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Vicente Guerrero (55,760)
  2. Apizaco (49,459)
  3. Huamantla (47,286)
  4. Chiautempan (46,776)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.