Hidalgo (jimbo)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pachuca de Soto, Hidalgo
Bendera ya Hidalgo
Mahali pa Hidalgo katika Mexiko

Hidalgo ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Imepakana na San Luis Potosí, Veracruz, Puebla, Tlaxcala, Mexico na Querétaro. Mji mkuu na mji mkubwa ni Pachuca.

Kunako mwaka wa 2005, idadi ya wakazi ilikuwa 2,345,514. Una eneo la 20,502 km².

Jina la jimbo lilitolewa kwa heshima ya kiongozi wa uhuru wa Mexiko Miguel Hidalgo y Costilla.

Gavana wa jimbo ni Miguel Ángel Osorio Chong.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Pachuca (275,578)
  2. Tulancingo (96,538)
  3. Ixmiquilpan (73,903)


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Faili:Miguel Osorio Chong.JPG
Miguel Ángel Osorio Chong, gavana wa jimbo



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hidalgo (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.