Tisini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tisini (kutoka Kiarabu تسعون) ni namba inayoandikwa 90 kwa tarakimu za kawaida na XC kwa zile za Kirumi.

Ni namba asilia inayofuata 89 na kutangulia 91.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 3 x 3 x 5.

Matumizi[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tisini kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.