Nenda kwa yaliyomo

Thomas Briels

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Thomas Briels (alizaliwa Agosti 23, 1987)[1] ni Mbelgiji ambaye ni mchezaji wa mpira wa magongo anyechezea kama mshambuliaji wa team ya Uholanzi Hoofdklasse Klabu ya Oranje-Rood. Ameichezea timu ya taifa ya Ubelgiji[2] jumla ya mara 359 kuanzia 2006 hadi 2021.

  1. "Thomas Briels Biography, Age, Height, Wife, Net Worth, Family". Celebrity Age Wiki (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-12-01. Iliwekwa mnamo 2021-12-01.
  2. "Thomas BRIELS". Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-12-01.