Thenjiwe Lesabe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Thenjiwe Lesabe alikuwa mwanaharakati wa taifa la Zimbabwe ambaye pia alikuwa mwalimu, mshiriki wa vita vya ukombozi, na mwanasiasa.

Maisha ya mapema na kazi[hariri | hariri chanzo]

Khumalo alizaliwa Hope Fountain karibu na Bulawayo mnamo tarehe 5 Januari 1932. Alisoma katika Shule ya Msingi ya White Water na kisha alipata mafunzo ya ualimu huko Hope Fountain. Alikuwa mwalimu katika shule ya Msingi ya Lotshe huko Mkokoba kabla ya kujiuzulu mnamo mwaka 1949 na kujiunga na Bantu Mirror kama mwandishi habari.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Bantu mirror.", The Library of Congress. (en) 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Thenjiwe Lesabe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.