Terere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Terere ni kilele cha mlima Kenya unaopatikana nchini Kenya katika kaunti ya Meru.

Kina urefu wa mita 4,187 juu ya usawa wa bahari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]