Tepoto (Kaskazini)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Tepoto

Tepoto (Kaskazini) ni kisiwa cha Polinesia ya Kifaransa ndani ya funguvisiwa ya Tuamotu. Kiko upande wa magharibi wa kisiwa cha Napuka. Eneo la kisiwa ni 4 km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Tehekega. Mwaka wa 2012, idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 61. Watu wakaao kisiwani kwa Tepoto (Kaskazini) huongea Kituamotu na Kitahiti.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.