Surat

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Surat
Nchi Uhindi
Jimbo / Mkoa Gujarat
Anwani ya kijiografia 21°10′12.864″N 72°49′51.819″E / 21.17024000°N 72.83106083°E / 21.17024000; 72.83106083Coordinates: 21°10′12.864″N 72°49′51.819″E / 21.17024000°N 72.83106083°E / 21.17024000; 72.83106083
Kimo mita 13
Eneo km2 326.515 [1]
Wakazi 4,467,797[2]
Msongamano wa watu 14,000/km2
Simu 91-261-XXX-XXXX
Tovuti rasmi www.suratmunicipal.gov.in

Surat ni mji wa Jimbo la Gujarat nchini Uhindi. Uko kwenye kingo za mto Tapti, karibu na mdomo wake katika Bahari Hindi. Hivyo ilikuwa bandari muhimu lakini siku hizi maji yake hayana kina cha kutosha kwa meli kubwa. Ni jiji lenye wakazi milioni 4.5 lenyewe, na milioni 6 katika rundiko la mji. Ni mji mkubwa wa nane nchini Uhindi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Statistics for Surat Municipal Corporation. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-09-15. Iliwekwa mnamo 4 June 2015.
  2. District Census Handbook – Surat 40.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Surat travel guide kutoka Wikisafiri

Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Surat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.