Nenda kwa yaliyomo

Sophie Blanchard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sophie Blanchard.

Sophie Blanchard (25 Machi 1778 - 6 Julai 1819) alikuwa mwanamke wa kwanza kuwa mhandisi wa angani na rubani wa baluni la moto, maarufu kwa kutumia baluni zake katika maonyesho ya anga.

Alifariki kutokana na ajali wakati akifanya maonyesho angani. Sophie ni mmoja wa wanawake mashuhuri katika historia ya anga[1]).

  1. Dunlop, Doug (28 Machi 2016). "Sophie Blanchard: Pioneer Aeronaut". Smithsonian Libraries Unbound (kwa American English). Smithsonian Institution. Iliwekwa mnamo 24 Machi 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sophie Blanchard kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.