Siku ya watenzi wote

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Siku ya watenzi wote ni kitabu kilichoandikwa na Shaaban bin Robert. Kimeandikwa mwaka wa 1961 muda mfupi kabla ya uhuru wa nchi ya Tanzania tu, na kinahusu mambo ya kimapinduzi.

Makala hii kuhusu mambo ya fasihi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Siku ya watenzi wote kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.