Shaibu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mzee akiongozwa na mtoto.

Shaibu (kutoka neno la Kiarabu; pia: kizee) ni mwanamume aliye mzee sana, k.mf. baba yake babu au bibi, pia babu yake baba au mama.

Makala hii kuhusu "Shaibu" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.