Sarah Chadwick (mwanaharakati)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sarah Chadwick (aliyezaliwa 1 Agosti 2001) ni mwanaharakati wa Marekani dhidi ya unyanyasaji wa bunduki na mmoja wa viongozi wa vuguvugu la wanaharakati wa Never Again MSD. [1]

Upigaji risasi wa shule ya sekondari ya Marjory Stoneman Douglas[hariri | hariri chanzo]

Siku ya ufyatuaji risasi, alieleza jinsi alivyoona makundi ya magari ya polisi yakifika kwenye eneo la tukio, huku baadhi ya marafiki zake wakimtumia ujumbe kutoka madarasani karibu na milio ya risasi. [2]Katika mahojiano ya televisheni, alisema kwamba "mtoto hapaswi kuogopa tena kwenda shuleni." [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Sarah Chadwick (activist)", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-07-10, iliwekwa mnamo 2022-07-31 
  2. "Sarah Chadwick (activist)", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-07-10, iliwekwa mnamo 2022-07-31 
  3. "Sarah Chadwick (activist)", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-07-10, iliwekwa mnamo 2022-07-31 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sarah Chadwick (mwanaharakati) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.