Sandister Tei
Mandhari

Sandister Tei ni mtaalamu wa vyombo vya habari wa nchini Ghana ambaye alitunukiwa taji la mwanawikimedia wa mwaka mnamo Oktoba 2020 na Jimmy Wales, mwanzilishi wa Wikipedia
Pia yeye ndiye mwanzilishi na mfanyakazi wa kujitolea wa Kikundi cha Watumiaji cha Wikimedia Ghana.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Planning Wikimedia Ghana". GhanaWeb (kwa Kiingereza). 2013-08-23. Iliwekwa mnamo 2022-10-02.