Nenda kwa yaliyomo

Samun Dukiya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Samun Dukiya ni eneo la kiakiolojia nchini Nigeria katika bonde la Nok ambapo mabaki kutoka katika utamaduni wa Nok yamepatikana, kati ya mwaka 300 KK na 100 KK. [1] Tarehe ya kaboni iliyopimwa inaonyesha kuwa eneo hilo ilikaliwa kati ya miaka 2500 na 2000 iliyopita. Hakuna alama za makazi kabla ya Enzi ya Chuma ambazo zimepatikana.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Catherine Coquery-Vidrovitch (2005). The history of African cities south of the Sahara: from the origins to colonization. Markus Wiener Publishers. uk. 44. ISBN 1-55876-303-1.
  2. Catherine Coquery-Vidrovitch (2005). The history of African cities south of the Sahara: from the origins to colonization. Markus Wiener Publishers. uk. 44. ISBN 1-55876-303-1.