Samuel Mchele Chitalilo
Samuel Mchele Chitalilo (amezaliwa 15 Juni, 1965) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM.
Chanzo[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |