Samadi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfano wa samadi.

Samadi (kutoka Kiarabu روث, سماد) ni mbolea inayotokana na mabaki ya wanyama waliokufa au mimea ambayo huongeza rutuba kwenye udongo.

Aina za samadi[hariri | hariri chanzo]

Farmyard

Mboji

  • Ni samadi ambayo hutokana na uozo wa takakataka zitokanazo na mabaki ya wanyama na mimea.

Greenyard

  • Ni samadi ambayo hutengenezwa kwa kuzika mimea ya rangi ya kijani kwenye shimo maalum.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Morpho didius Male Dos MHNT.jpg Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Samadi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.