Sétif

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Sétif, Moroko
Mji wa Sétif, Moroko

Sétif ni mji muhimu wa Algeria. Ndio wa sita nchini kwa wingi wa wakazi.

Hao walihesabiwa kuwa 288,461 mwaka 2008[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "The provinces of Algeria and all cities of over 25,000 inhabitants". Citypopulation.de. Iliwekwa mnamo 2008-04-14. 
Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sétif kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.