Rose Mukankomeje

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rose Mukankomeje ni mwanasiasa, mwanabiolojia, na mwanaharakati wa mazingira wa Rwanda, ambaye kazi yake nikushughulikia uhifadhi wa misitu ya Rwanda.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Mukankomeje alihudumu kama mbunge wa bunge la Rwanda kuanzia 1995 hadi 2001. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "United Nations Forum on Forests » Africa". www.un.org (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-03-09. 
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rose Mukankomeje kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.