Ronke Odusanya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ronke odusanya
Amezaliwa 3 mei1973
Ogun
Nchi Nigeria
Kazi yake muigizajk

Ronke Odusanya (alizaliwa katika Jimbo la Ogun, 3 Mei 1973) ni mwigizaji wa filamu wa lugha ya Kiyoruba na mtayarishaji wa filamu kutoka Nigeria. [1]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Ronke alianza elimu yake katika Shule ya St. Benedict Nursery & Primary School na kuendelea na Chuo cha Wasichana cha Serikali cha Shirikisho, Akure . [2] Alihudhuria Chuo Kikuu cha Olabisi Onabanjo, na kupata digrii ya mawasiliano. [3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 9 Years After First Production, Ronke Odusanya Releases New Flick ‘Gangan’. Tribuneonline. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-04-20. Iliwekwa mnamo 20 April 2019.
  2. "Ronke Odusanya", Ibaka TV, 20 November 2016. Retrieved on 2022-02-21. Archived from the original on 2019-04-20. 
  3. "Popular Nollywood actress Ronke Odusanya celebrates birthday with lovely photo", Information Nigeria, 3 May 2018. 
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ronke Odusanya kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.