Roketi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Roketi aina ya Soyuz-U, huko Baikonur cosmodrome katika nchi ya Kazakistani.

Roketi (Kiingereza rocket) ni chombo chenye umbo la bomba kinachopazwa angani kwa nguvu ya gesi inayotoka nje. Tofauti na injini ya jeti roketi hubeba fueli yote ndani yake kwa hiyo inafanya kazi pia katika ombwe pasipo na oksijeni au dutu nyingine inayohitajika kwa kuchoma fueli ndani ya injini yake.

Roketi hutumiwa kama silaha ya kijeshi, kama alama kiashiria katika hali ya dharura, fataki na kwa usafiri wa anga-nje.


Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.