Rita Chikwelu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

[hariri chanzo]

Rita Chikwelu

Amezaliwa 6 machi 1988
Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake mchezaji wa mpira wa miguu


Rita Chikwelu (alizaliwa 6 Machi 1988) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Nigeria ambaye anacheza katika klabu ya Hispania iitwayo Madrid CFF. Pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Nigeria.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Source
  2. "Rita Chikwelu profile". Umeå IK. Iliwekwa mnamo 22 February 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rita Chikwelu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.