Kinega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Riparia)
Kinega
Kinega-mchanga
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Sylvioidea (Ndege kama kucha)
Familia: Hirundinidae (Ndege walio na mnasaba na mbayuwayu)
Jenasi: Riparia
T. Forster, 1817
Ngazi za chini

Spishi 6:

Vinega ni ndege wa jenasi Riparia katika familia Hirundinidae. Wanafanana na mbayuwayu lakini wana rangi ya mchanga na nyeupe. Mwenendo wao ni sawa na ule wa mbayuwayu. Hulichimba tundu lao katika ukingo au chungu ya mchanga. Jike huyataga mayai 2-5.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi ya Asia[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]