Rhino Rangers F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rhino Rangers Football Club ni klabu ya soka yenye maskani yake mjini Tabora, Tanzania. Hapo awali walicheza katika kiwango cha juu cha mpira wa miguu wa Tanzania,

Ligi Kuu Tanzania. Msimu wa 2015/16 wanashiriki Ligi Daraja la Kwanza Tanzania (ligi kuu Tanzania bara )[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]