Rasi Agulhas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Rasi Agulhas na Rasi ya Tumaini Njema nchini Afrika Kusini
Jiwe la kumbukumbu kwenye Rasi Agulhas inayodokeza pande za Atlantiki na Bahari Hindi

Rasi Agulhas (ing. Cape Agulhas) ni mahali pa kusini zaidi pa bara la Afrika. Iko karibu na mji wa Agulhas katika Afrika Kusini. Iko karibu pia na Rasi ya Tumaini Jema iliyo maarufu zaidi.

Ni mpaka kati ya maji za Atlantiki na Bahari Hindi na mstari unaoelekea kusini kutoka hapa umekubaliwa na Shirika la Kimataifa la Hidrografia kuwa mpaka kati ya bahari hizi mbili.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]