Rama
Rama ni mungu mmojawapo wa Wahindu ambaye anajulikana kama Maryada Purushottam, Mkuu wa Uungu. Katika Uhindu, wanaamini kuwa ni avatar wa mungu Vishnu na pia kama Mkuu wa Uungu.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Schomer, Karine; McLeod, W. H. (1987). The Sants: Studies in a Devotional Tradition of India (in English). Motilal Banarsidass Publ. ISBN 978-81-208-0277-3.