Rama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rama ni mungu mmojawapo wa Wahindu ambaye anajulikana kama Maryada Purushottam, Mkuu wa Uungu. Katika Uhindu, wanaamini kuwa ni avatar wa mungu Vishnu na pia kama Mkuu wa Uungu.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Schomer, Karine; McLeod, W. H. (1987). The Sants: Studies in a Devotional Tradition of India (in English). Motilal Banarsidass Publ. ISBN 978-81-208-0277-3. 
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: