Point Lenana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Point Lenana

Point Lenana ni kilele kimojawapo cha Mlima Kenya unaopatikana nchini Kenya katika kaunti ya Meru.

Kina urefu wa mita 4,985 juu ya usawa wa bahari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]