Pitika Ntuli
Mandhari
Pitika Ntuli (alizaliwa Springs, Gauteng, 1942) ni mchongaji, mshairi [1], mwandishi na msomi wa nchini Afrika Kusini ambaye alitumia miaka 32 ya maisha yake uhamishoni nchini Eswatini na Uingereza. [2] Ana MFA kutoka taasisi ya Pratt huko New York na MA katika Uhusiano Ulinganifu wa Viwanda na Sosholojia ya Viwanda. Akiwa uhamishoni nchini Uingereza alifundisha katika Chuo cha Sanaa cha Camberwell, Chuo cha Sanaa na Usanifu cha Central Saint Martins, Chuo cha Uchapishaji cha London, Chuo Kikuu cha Middlesex na Chuo Kikuu cha East London . Tangu arejee Afrika Kusini amefundisha Wits na UKZN .
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pitika Ntuli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |