Paternus
Jump to navigation
Jump to search
Paternus (au Padarn wa Wales) (alifariki 550 hivi)[1] alikuwa abati askofu wa Ukristo wa Kiselti aliyeanzisha[2] Kanisa katika ufalme wa Ceredigion, Wales (leo katika Ufalme wa Muungano).
Alianzisha pia monasteri huko Vannes (Bretagne, Ufaransa) akawa askofu wa Braga, Ureno, na Avranches, Normandy.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Aprili[3][4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "St. Padarn of Wales", Parish of Oystermouth, Swansea. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-10-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-19.
- ↑ Llanbadarn, "Padarn's church".
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Catholic Online
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Vita Sancti Paterno: The Life of Saint Padarn, written in Cemis, Pembrokeshire, in the twelfth century. Found in the British Library Cotton Manuscript Vespasian A xiv.
- "Vita Sancti Paterni: The Life of Saint Padarn and the Original Miniu", Trivium 33 (2003)(Charles Thomas and David Howlett).
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Vita Sancti Paterni. From ancienttexts.org. Retrieved June 19, 2009.
- LLanbadarn Fawr and Padarn Redcoat Archived 21 Agosti 2008 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |