Osman Ahmed
Osman Ahmed (kwa Kisomali: Cismaan Axmed, kwa Kiarabu: عثمان أحمد) alikuwa Sultani wa tano na wa mwisho wa usultani wa Geledi nchini Somalia.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Osman Ahmed anachukuliwa kuwa duni kuliko waliomtangulia,[1] na nguvu ya Gobroon ilidhoofishwa sana chini ya utawala wake. Alikuwa mtoto wa Sultan Ahmed Yusuf na alimrithi baba yake baada ya kifo chake.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Cassanelli, uk.149.