Ojos del Salado

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Ojos del Salado

Ojos del Salado ni mlima wa Andes katika nchi ya Chile (Amerika Kusini).

Urefu wake ni mita 6,891 juu ya usawa wa bahari, hivyo ni wa kwanza katika nchi hiyo na wa pili katika safu nzima ya Andes.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]