Nyumba ya Tembo, Zanzibar
Mandhari

Nyumba ya Tembo ni jumba la Kiarabu lililojengwa ukingoni mwa maji huko Zanzibar, Tanzania.
Mnamo 1990 lilikarabatiwa litumike kama hoteli.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |