Nyumba ya Tembo, Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyumba ya Tembo ikijulikana pia kama Tembo Hotel, 2021.

Nyumba ya Tembo ni jumba la Kiarabu lililojengwa ukingoni mwa maji huko Zanzibar, Tanzania.

Mnamo 1990 lilikarabatiwa litumike kama hoteli.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]