Njiapanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Njia panda)
Njia panda mjini Kharkov, Ukraine kwenye mwezi wa Januari

Njiapanda (pia: njia panda) ni mahali ambako njia mbili zinakutana au mahali ambako njia inagawiwa ikiendelea pande mbili tofauti. Njiapanda huwa mara nyingi mahali ambako watu walijenga makazi na hivyo kuunda vijiji na miji. Vilevile njia zinalengwa mara nyingi kuelekea penye mji hivyo njiapanda zinatokea.

Njiapanda au Njia Panda ni jina la vijiji vingi nchini Tanzania, pamoja na


Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.