New Georgia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)

Visiwa vya Solomon.

Georgia Mpya au New Georgia ni kisiwa kikubwa cha Mkoa wa Magharibi mwa Visiwa vya Solomon. Kisiwa hiki kimekusanya visiwa vingine vikubwa kabisa katika Mkoa. Kuna km 72 na urefu wa maili 45, kuelekea katika sehemu ya Kusini mwa mpaka wa New Georgia Sound hadi kufikia katika visiwa vingine kama vile, Kolombangara imeenda mpaka kufikia katika Ghuba ya Kula hadi magharibi, Vangunu ipo mashariki, na Rendova na kusini, na kufika Blanche Channel.

Kisiwa kina maporomoko mengi na kuna misitu mikubwa kabisa.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.