Nevado Sajama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Nevado Sajama

Nevado Sajama ni mlima wa Andes katika nchi ya Bolivia (Amerika Kusini).

Urefu wake ni mita 6,542 juu ya usawa wa bahari, hivyo unazidi milima yote ya nchi hiyo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]