Nelion

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nelion (kulia) na Batian (kushoto).

Nelion ni kilele kimojawapo cha Mlima Kenya unaopatikana nchini Kenya.

Kina urefu wa mita 5,188 juu ya usawa wa bahari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]