Naya Dane

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uzoegbu Chukwuemeka Alexande anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii Naya Dane ni mwanamuziki na mwandishi wa nyimbo kutoka Nigeria.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Uzoegbu Chukwuemeka Alexander ambaye alizaliwa na kukulia katika eneo la Okokomaiko katika jimbo la Lagos[1]. Alianza kuimba na kufanya muziki akiwa mtoto chini ya jina la utani "Lil Slizzy".[2] Alitoa wimbo wake wa kwanza rasmi "Diana" mnamo 2016. Baadaye alitoa wimbo "Badder" chini ya jina la kisanii Naya Dane..[3] Mnamo 2016, alisaini mkataba wa usimamizi wa mwaka mmoja na Rockwell360. Katika miaka ya hivi karibuni, Dane ameingia katika ulimwengu wa NFT na ametoa mkusanyiko unaoitwa "Naya Dane Rasmi" kwenye OpenSea.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]