Nangomba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nangomba ni kata ya Wilaya ya Nanyumbu katika Mkoa wa Mtwara, Tanzania, yenye postikodi namba 63601.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,785 [1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,178 waishio humo.[2]

Nangomba inapitiwa na barabara ya A19 na hapa inaanza njia ya kwenda Msumbiji kupitia Daraja la Umoja.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Nanyumbu - Mkoa wa Mtwara - Tanzania

Chipuputa | Kamundi | Kilimanihewa | Likokona | Lumesule | Mangaka | Maratani | Masuguru | Michiga | Mikangaula | Mkonona | Mnanje | Nandete | Nangomba | Nanyumbu | Napacho | Sengenya


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mtwara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nangomba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.