Nenda kwa yaliyomo

Mwangi Kiunjuri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiunjuri Festus Mwangi (alizaliwa Kieni, kaunti ya Nyeri, 18 Januari 1967) ni mwanasiasa wa Kenya.

Mwangi amewahi kushika nyadhifa mbalimbali za kisiasa na serikalini.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Members Of The 10th Parliament Archived 2008-06-16 at the Wayback Machine. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.